Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » AJALI ILIYOTOA UHAI WA MMILIKI WA MATEI LODGE NA KUMJERUHI BLOGGER WA DODOMA


Gari alilokuwemo Mattei likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali.
Wananchi wakiwa eneo la tukio.…
Gari alilokuwemo Mattei likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali.
Wananchi wakiwa eneo la tukio.
Mmiliki wa Mattei Lodge enzi za uhai wake.
MMILIKI wa Mattei Lodge iliyopo Area D mkoani Dodoma aliyefahamika kwa jina moja tu la Mattei amefariki dunia katika ajali ya gari jana Jumapili eneo la Pandembili, Kongwa.
Chanzo cha ajali hiyo inadaiwa kuwa mwendo kasi uliopelekea gari hilo kuligonga gari lingine na kisha kupinduka.
Marehemu Mattei alikuwa na wenzake watatu katika gari ambao walijeruhiwa Akiwemo Blogger wa Dodoma Boss Ngassa.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga