Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » ZARI AZIDI KUJIWEKA KWA DIAMOND, USO KWA USO NA MAMA MKWE SOUTH AFRICA


Diamond Hivi Karibuni alidai kuwa yeye na the bosslady Zari hawana uhusiano wowote wa kimapenzi bali wapo kikazi, (project).


Lakini kwa kilichoonekana Usiku wa jana Afrika Kusini, ambapo mrembo Huyo alionekana kuwa karibu zaidi na Diamond Platnumz na Mama Mkwe wake wake yani Mama Diamond, Na wadau kuamini Kabisa Hakuna cha project bali kinachoelendea ni mahaba ninyonge kati ya Mrembo Zarina na Diamond Platnumz.

angalia picha zaidi hapo chini




About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga