Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » » ZARI NA DAIMOND MAMBO NI MOTOMOTO, CHEKI MAPOKEZI YA DAIMOND KAMPALA JANA...


Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa…
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa Uganda.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady kwenye pozi.
Diamond Platnumz na Zari wakipigwa picha na wanahabari.
Diamond Platnumz na Zari wakijiandaa kuongea na wanahabari jana.
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani).
STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' ameondoka Tanzania jana mchana na kuelekea Uganda kwaajili ya hafla ya Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady inayoitwa ZariAllWhiteCirocParty inayofanyika Kampala.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga