Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » KAULI YA WEMA KUHUSU MIMBA YAKE YAMCHEFUA ZARI



Hii ni kwa mujibu wa Miss Tanzania huyo
mwaka 2006 na ex wa Zari Diamond
Platnuimz.
Picha hiyo haipotena lakini Zari alifanikiwa
kuipata na kuiweka kwenye ukurasa wake na
kuelezea jinsi alivyosikitishwa na kauli ya
wema kwenye picha hiyo isemayo Mimba is
'My Foot'
Kwa mujibu wa Urbandictionary msemo wa
'my foot' humaanisha; An
exclamation that means that one believes
the previous speaker's statement to be untrue
Mrembo huyo wa Uganda anayetarajia
kumzalia Diamond mtoto wake wa
kwanza,aliipost picha hiyo na kuifuta tena
baadaye na kuandika;"Astagafuhulah!Some
time we have ton wish people good,this is too
much jamani hmmmm.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga