Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

2013 Ya " Shilole"!!!


--> Mwanadada asiyeishiwa na vituko, zainab Mohamed, Shilole, ameng'aa katika mitandao mbali mbali ya kijamii na muonekano wake mpya ambao yeye binafsi ameuita ndo wa mwaka 2013, vp jmani mnauonaje?

Aibu Mke wa Mtu

-->

Pia katika gazeti la amani.

UDAKU Katika Magazeti

Hii ipo katika gazate la Amani la Leo
-->

VIDEO ya "KIMAPENZI" Alingo ya P Squire yapigwa Marufuku

Video ya nyimbo mpya ya Vijana wa kundi la P squire, "ALINGO"  imepigwa marufuku nchini Nigeria na NBC Kutokana na kile kilichosemwa inahamasisha ngono nma wanawake wa humo ndani wamekaa kihasa hasara mno. Iangalie Video hiyo hapo chini. -->

Tumbo la Shakira lazidi kujaa

Msanii na balozi wa UNICEF, Mrembo shakira ambaye kwa sasa ana Ujauzito wa mchezaji wa Barca, Pique, Amedakwa akiliachia tumbo lake ambapo soon anatarajiwa kujifungua.

Picha ya Justin Bieber akionesha Tako Yavuja.

Mwanamuzi kijana mwenye utajiri wa kutosha, raia kutoka nchini Canada ameanza kukumbwa na scandals za aina yake baada ya kuvuja kwa picha yake hii katika mitindao mbali mbali. jionee mwenyewe.

Nyoka atoka Sehemu za Siri za Mwanamke Baada ya" Kufanyiwa Maombi"

-->
Hawa wachawi na teknolojia yao ya giza katika karne hii ya sayansi na teknolojia wanazidi kutuonesha maajabu yao. Baada ya mwanamke mmoja kusumbuliwa na maumivu ya tumbo kwa muda mrefu ndipo alipoaamua kwenda kwa mchungaji mmoja kufanyiwa maombi huenda Mungu akasikia kilio chake, kioja kilitokea hapo ambapo mwanamke huyo alipohisi kuna kitu kina mtoka sehemu za siri na ndipo nyoa huyo mwenye urefu wa nchi 20 alipotoka katika ikulu zake.Baada ya tukio hilo mwanadad huyo alisema kuwa alikuwa na tabia ya kulalal na wanaume tofauti tofauti ambapo kila mwanaume atayekubali kulala nae hupata ugonjwa wa ajabu ambao hautibiki hospitali, kifupi alikuwa akiwachezea.

Unenguaji wa Beverly Hautuogopeshi - Girls la Musica

Beverly Sibanda
Girls la Musica
Makundi mawili mahisimu ya wanenguaji nchini Zimbabwe, hapa namzungumzia Berverly Sibanda na kundi lake la " Dancing Angels" na mahasimu wao Girls la musica, wamefunguka juu ya upinzani uliopo baina yao. Katika mahojiano yao kundi la Girls la Musica limesema kwamba hawatishiwi na Bev na kundi lake zaidi zaidi wanawaona kama watu wasiokuwa na maadili.

Angalia "Fumanizi" Kimada afumwa na Mwenye Mume

-->
Mwanamke mmoja nchini South Africa ameuanza Mwaka 2013 vibaya baada ya kupokea kichapo cha haja na kuvuliwa nguo hadharani. Tukio hilo limetokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya ambapo mke alimwambia mumewe kuwa anakwenda kanisani kwa ajili ya mkesha huo na ndipo njemba hiyo ikautumia mwanya huo kumualika nyumbani kimada wake, baada ya kula raha zao walipitiwa na usingizi na ndipo mke wa halali aliporudi nyumbani na kumjazia watu mumewe huku akimkwida kimada huyo na kumsaula nguo!

"Naskiliza Hii, Kisha Naenda Kufanya Mapenzi na Mume Wangu" Beyonce

-->

Msanii mwenye mvuto wa kipekee wa kimapenzi mwanadada Beyonce, ameng'aa katika jarida la GQ Huku akijishaua na kuseme " Kwa sasa nasikiliza wimbo wa make love to me, kisha naenda ku make love na mume wangu" Kwa mujibu wa jarida la GQ Beyonce ndio mwanamke mwenye mvuto wa kimapenzi zaidi kwa mwaka 2012.

Picha za utupu kama Ushahidi zapatikana



Hii ni katika kesi inayomkabili mwanada Jodi Arias ambaye mnamo mwaka 2008 alimua Mpenzi wake wa muda Mrefu Travis Alexander huku akijitetea kwamba ni Self Defense. Picha hizo zimekutwa katika kamera ya Marehemu huyo, ambaye mtuhumiwa awali alidai kuwa walikuwa ni marafik tu.

VIDEO -"Ukahaba" Haiti NDIO Kiinua mgongo

Huku Tanzania tunajivunia kwamba Kilimo ndio Uti wa Mgongo wetu, lakini sehemu nyingine Duniani, Ukahaba na Kujiuza ndio shughuli ya kujiingizia kipato inayotegemewa na sehemu kubwa ya wanajamii. Angalia Video hiyo.

VIDEO - Ukahaba unaofanywa na wanafunzi wa Vyuoni huko Ashaiman Ghana

-->
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga