Latest
Tafuta Hapa
Kali za Facebook
Labels
- Agness Masogange (5)
- Aisha Bui (1)
- Ajali (5)
- Ali Kiba (5)
- Aunty Ezekiel (8)
- Baby Madaha (2)
- Batuli (2)
- Bob Junior (2)
- Bongo Flavor (35)
- Bongo Movie (46)
- Chriss Brown (1)
- Dawa za Kulevya (2)
- Diamond Platnumz (47)
- Drake (1)
- Dully Sykes (1)
- Elizabeth Michael (3)
- Escrow (9)
- featured (24)
- Fumanizi (11)
- Gardner (1)
- Geor Davie (1)
- Global Publishers. (18)
- Habari Picha (78)
- Habari za Kimataifa (209)
- Habari za Kitaifa (216)
- Halima Ally (1)
- Hamisa Mobeto (1)
- Huddah Monroe (1)
- Irene Uwoya (3)
- Jacqueline Wolper (4)
- Jamii Forums (79)
- Jokate (1)
- Kajala Masanja (5)
- Lady Jay Dee (6)
- Lilian Kamazima (1)
- Lulu (5)
- Magazeti na Picha (2)
- Mainda (1)
- Maisha (66)
- Malick Bandawe (2)
- Mapenzi (197)
- Maunda Zorro (1)
- Michezo na Burudani (72)
- Miss Tanzania (9)
- Mpira (6)
- Mr Blue (1)
- Muziki (12)
- Mwana Fa (1)
- Ney wa Mitego (1)
- Nyota wa Bongo (120)
- Ommy Dimpoz (9)
- Original Comedy (1)
- P Square (1)
- Picha za Utupu (46)
- Ray C (1)
- Rihanna (1)
- Rose Ndauka (2)
- Sabby Angel (2)
- Shetta (1)
- Shilole (3)
- Sitti Mtemvu (6)
- Udaku Magazetini (37)
- Udaku wa Africa (234)
- Udaku wa Tanzania (253)
- Udaku wa TZ na Africa (21)
- Udaku wa Ulaya (189)
- Ufuska (152)
- Uhuru Kenyatta (1)
- Ujana (35)
- Urembo (11)
- Uswazi. (32)
- Video (9)
- Wasanii (54)
- Wema Sepetu (36)
- Zari The Boss Lady (29)
- Zitto Kabwe (1)
Feature
Udaku wa Africa
Habari za Kimataifa
Habari za Kitaifa
Mapenzi
Michezo na Burudani
Udaku wa Ulaya
Ongeza Spidi ya "Tendo la Ndoa" huku ukipunguza Kupooza na Heart Attack
D'Banj Atoswa na Mrembo Jukwaani
Michezo na Burudani, Udaku wa Africa
Hali ya Mandela bado si shwari
Maziwa ya Kichina yampasukia Mwanamke wakati amelala!!!
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
"Aibu" Mwanachuo avuliwa nguo baada ya kuiba simu.
Picha za Utupu, Udaku wa Africa
Duuh!! Mzee wa Miaka 60 mbaroni baada ya kufumwa akivinjari na Binti ndani ya Gari!!!
Msichana anusurika Kubakwa, Amchoma Kisu na Kumuua Mbakaji Huyo!!
Habari za Kimataifa, Maisha, Mapenzi, Udaku wa Africa
Onyinyechi Orakwuelum alikuwa akisheherekea siku yake ya kuzaliwa na alikuwa akitimiza umri wa miaka 18. Hata hivyo siku hiyo ambayo huwa ni ya furaha miongoni mwa binadamu wengi, imegeuka na kuwa ya majonzi na matatizo baada ya mwanadada huyo kuwa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua Kijana ajulikanaye kwa jina la Ayobami, ambaye binti huyo anadai alidhamiria kumbaka na katika kujitetea kwake alifanikiwa kumpiga kisu na kujisalimisha mwenyewe polisi.
Siku ya tukio Ayobami alimpigia simu binti huyo na binti akamwambia ya kwamba yupo nyumbani na ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake, jamaa akamuuliza kama alikuwa na mipango yoyote ya sherehe, binti akamwambia hapana ni mapumziko na kuikumbuka tu siku hiyo, Ayobami akamwambia wakutani mida ya saa 1 jioni maeno fulani, binti alikubali, na alipoeenda wakaenda mpaka nyumbani kwa Ayobami ambaye alitumia muda mfupi kukaa katika laptop yake na baadae akamfuata na kumwambia ya kwamba anampenda na anaomba awe mpenzi wake. Onyinye alikataa sababu alihisi ni utani lakini jamaa alivyozidi kumsogelea karibu, binti huyo akagundua kuwa Ayobami amelewa, naye akakazania kupewa japo penzi kwa siku husika ikiwa hatamkubalia basi angemfanyia kitu mbaya.
Baada ya kukuru kakara za muda mrefu, jamaa akaelekea jikoni na kuchukua kisu ambacho alikuwa akimtishia msichana huyo huku akianza kumvua nguo kwa nguvu, kwa bahati kisu hicho kilidondoka chini na ndipo Onyinye alikiokota na kumchoma nacho, akaskia sauti kutoka kwa Ayobami akilalama kwamba kamchoma, Onyinye alikimbia na kwenda kutoa taarifa kituoni, polisi walipofika eneo la tukio walimkuta jamaa kashafariki na kisu kilimuingia katika moyo.
Mpaka sas binti huyo anashikiliwa na polisi mpaka uchunguzi utakavyo kamilika.
Exclusive!!List ya wanaume ambao Kim Kardashian amewahi kuwa nao!!!!
TJ Jackson (1994-1998)
Damon Thomas (m. 2000–2004)
Julian St. Jox (2001) (akiwa mke wa Damon)
Ray J (2002-s*x tape made 2003(akiwa mke wa
Damon)-2007)
Nick Lachey 2006
Nick Cannon (Sept 2006-Jan 2007)(akiwa ndani ya mahusiano na Ray J)
FONSWORTH BENTLEY (2006-Feb 2007)
Marquis Houston (March 2007)
Evan Ross (May 2007)
Reggie Bush (2006 (akiwa ndani ya mahusiano na Ray J)-2009/2010)
Christiano Ronaldo (April 2010)
Shengo Deane (April 2010)
Miles Austin (June 2010)
Michael Copon (October 2010)
Jon Mayer (October 2010)
Gabriel Aubrey (November 2010)
Kris Humphries (m. 2010–2013)
Kanye West (2007–present)
Pia Brett Lockett, The Game, 50 cent, Scott Storch........
Waigizaji wa Movie ya First Wife wafanya Mapenz* kiukweli
Picha za Utupu, Udaku wa Africa
Mwalimu apigwa miaka 5 jela kwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanafunzi wake.
Habari za Kimataifa, Mapenzi, Udaku wa Ulaya
Jeremy Forest amehukumiwa kifungo cha miaka 5 na nusu jela baada ya kukubali mashtaka yaliyokuwa yakimkabili mwalimu huyo wa Hisabati, Mwalimu huyo wa miaka 30 amehukumiwa kwa makosa ya kumteka binti wa miaka 15 kisha kutoroka nae na kukimbilia Ufaransa ambapo waliponda raha za dunia kwa siku 8. Jana akiwa mahakamani hapo jamaa alithubutu kumwambia binti huyo " i love you" na binti akajibu " i love you too, im so sorry"
Kwa ishara za midomo huku binti akitoa machozi. Kwa upande wake msichana huyo ametetea uamuzi wake wa kwenda na mwalimu huyo kwamba hakulazimishwa na ya kwamba wanapendana.
Imeelezwa kuwa jamaa alianza uhusiano na mwanafunzi huyo akiwa na umri wa miaka 14, na aliwahi kumbusu darasani na ndipo mambo yakaanza rasmi. Pia katika ziara yao ya huko Ufaransa wamekuwa wakifanya mapenzi hadi mara 8 kwa siku moja ikiwa ni hotelini na katika gari.
"Sitakubali Kudhalilishwa katika Mitandao ya Kijamii" Eniola
Habari za Kimataifa, Udaku wa Africa, Udaku wa TZ na Africa
Lil Wayne kitimoto kwa kukanyaga bendera ya US
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Kim aapa kutobeba ujauzito tena
Habari Picha, Maisha, Udaku Magazetini, Udaku wa Ulaya, Wasanii
Mwalimu wa chuo kikuu aacha kazi baada ya kutupiwa Condom zilizotumika
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Mkufunzi mmoja katika chuo kikuu nchini marekani ameamua kuacha kazi baada ya matukio ya mara kwa mara yanayofanywa na baadhi ya wanafunzi wake kwa kumwachia condom zilizotumika katika ofisi yake ikiwa ni ishara ya kutomkubali. " Ni mazingira magumu ya kazi nnayokutana nayo" alisema baada ya kufikia uamuzi huo.
Popular Posts
-
Mkali wa Bongo fleva, Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond akipozi. ANAITWA Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond. Alizaliwa s...
-
Nay wa mitego hii sasa ni zidi ya Akadumba.Msanii Nay wa mitego amekuwa akiposti picha akiwa na Hot bebez tofauti tofauti na kuandika baadh...
-
Gari alilokuwemo Mattei likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali. Wananchi wakiwa eneo la tukio.… Gari alilokuwemo Mattei likiwa limeharib...
-
Miongoni mwa kampuni kubwa za Movie za Ngono zimejipanga kwenda Mahakani kupinga pendekezo la Sheria mpya ya kuwataka wahusika wake kuvaa...
-
--> Picha hizo zimepigwa katika mikesha ya miziki ya usiku, maarufu kama Vogodoro, angalia jinsi mabinti hao walivyokosa nidhamu na...
-
Aibu! Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Sta...
-
HAMNAZO? Mastaa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ‘Bella’ na Baby Madaha wamenaswa wakifanya vitendo vichafu maeneo ya Tabata jijini Dar baad...
-
Mfanyakazi mmoja katika taasisi ya Elimu ya Petroli ya Warri huko Ghana amepatwa na mkasa wa maisha yake baada ya kutekwa na wanaume w...
-
Hello wana JF. I have never posted anything on this forum ila leo mwenzenu yamenikuta! I got into a relationship with this guy about a co...
-
Huenda Miley Cyrus ameongoza zaidi kwa kuwa juu nabni ukweli usiopingika kwamba Justin Timberlake amerudi kwa kishindo kwenye muziki, ila ...