Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Aliyekuwa jambazi na muuaji apewa cheo cha Uzee wa Kanisa

-->

Ule usemi usemao, "Shetani akizeeka..........." unaweza ukatumiwa hapa, lakini hili limekuwa tofauti kwani mtuhumiwa huyo hayjazeeka na kuwa mzee hata hivyo Ataa Ayi, ambaye ni mfungwa katika gereza moja huko Accra Ghana, ameamua kuwa mtu wa imani ipasavyo kwani anashuhudiwa kuhudhuria ibada zote vizuri huku akionekana kuwa amebadilika, kitendo kilichomfanya Apandishwe cheo na kuwa miongoni mwa wazee wa kanisa hilo ndani ya jela.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga