Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Mrembo huyo anashida ya Milioni 1, eti yupo tayari kujiuza?!!!


Hicho ndicho kilichotokea Kupitia Twitter, msichana anajiita Miz Floxy alikuwa amekwama na ana shida ya hela, alichoamua kufanya ni kumtumia meseji mmoja katika watu waliopo katika contact list yake na kumueleza ya kwamba ana shida je yupo tayari kumsaidia kama dada?

Leaken Badass, ndo mtu aliyetumiwa sms hiyo, badala ya kutoa msaada aliulizia kama yupo tayari kumpa mwili wake ili amsaidie, ndipo binti alipokubali na kuanza kujadiliana vipi watakutana ili wapeane hizo bidhaa.

Kwa bahati mbaya au nduzi, huyo leaken badass ni chizi maana baada ya kumaliza kuchat na binti huyo aliamua kuweka kila kitu hadharani, yaani conversation ya siri kati yake na miz floxy.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga