Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Mwanamke wa miaka 53 Ajifungua Watoto Mapacha

Siku chache zilizopita Hospitali ya St Ives ya Huko Lagos ilipatwa na furaha isiyokuwa kifani baada ya mama mmoja alikuwa na umri wa miaka 53 alipojifungua mapacha wawili wa kiume. Mwanamke huyo alijifungua watoto hao baada ya kusubiri kwa zaidi ya miaka 20 bila kuwa na mtoto.

Baada ya kukaa mika yote hiyo bila mtoto, aliamua kubadilisha njia ya kupata ujauzito na kujaribu Invitro Fertilisation (IVF), njia ambayo hufanywa kwa yai la uzazi la mwanamke kupevushwa nje ya mwili wake na manii kila muda unapofika na kisha huwekwa katika mashine maalum kwa takribani siku nne hadi tano na kisha hurudishwa katika mwili wa mwanamke.


About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga