Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Mwangalie Shakira, Alivyoji shape baada ya Kuzaa!!!


 

Siku chache zilizopita Msanii mzaliwa wa Columbia, Shakira alikutwa akijiachia na ka Bikini Ikiwa ni Miezi 6 tu baada ya kujifungua mtoto wake wa kwanza. Shakira, 36, amefanya kazi kubwa kuurudisha mwili wake baada ya muda mfupi hasa ukizingatia na umri alionao na kujifungua kwake.

Picha hizo zimepigwa akiwa mapumzikoni huko Hawaii.


photophoto

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga