Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Raia Mwingine wa Uingereza Ashambuliwa Uturuki.


Hali ya Usalama ya Raia wa Uingereza  wanaotalii huko Uturuki inazidi kuwa mbaya baada ya Raia mwingine Kushambuliwa kwa kupigwa na chupa kichwani maeneo ya fukwe za mji wa Marmaris, kiasi cha kumfanya avuje damu sana na kama si kuwahi kupatiwa msaada wa kitabibu angepoteza maisha.
Hili ni tukio la pili baada ya tukio la wiki iliyopita ambalo kijana mwingine wa Uingereza Dayne Ward, 17, alishambuliwa kwa kisu halafu kuvuliwa nguo zote ma kutupwa ili afe.


About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga