Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Wanaume wawili wafanya Shopping "Uch!i"


Haikujulikana mara moja nini hasa ilikuwa dhamira yao baada ya Wanaume wawili walioonekana wazima kiafya na kiakili kuingia Super Market na kufanya Shopping zao huku wakiwa wamevaa "Chupi" Tu tena zenye rangi ya Kufanana.

Hii inafanana na ile tamaduni ya " No Pants Day" ya Huko Marekani na Ulaya ambapo kila tarehe 14/01 huadhimisha matukio hayo ambapo hutoka katika shughuli zao wakiwa na chupi au bukta tu.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga