Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » MFANYABIASHARA WA SIMU APIGWA RISASI NA MAJAMBAZI JIJINI MBEYA


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi  
Taarifa zilitufikia, zinasema kuwa, mfanyabiashara wa simu eneo la Ilomba Jijini Mbeya, amepigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia leo, alipokuwa akielekea nyumbani kwake.
 Imeelezwa kuwa alitoka dukani kwake ambako anauza simu akielekea nyumbani kwake eneo la Isyesye Nanenane, ndipo alipovamiwa na watu hao kisha kumpiga risasi ya mguuni na kumpora fedha na gari lake na sasa amelezwa hospitali ya rufaa ya Mbeya kwa ajili ya matibabu.
 Jeshi la polisi mkoani Mbeya, linaendelea kuwasaka watu hao. 

 credit-kalulunga blog 

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga