Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » RAIS KIKWETE ATIA TIMU MAGOLE, AKAGUA DARAJA LA DUMILA NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI.

Rais Kikwete akishuka katika helkopta aliyokuja nayo.
Rais JK akielekea kukagua daraja la Dumila lililokatika kutokana na mvua kubwa iliyonyesha eneo hilo.
Rais Kikwete akikagua daraja hilo.
Rais Kikwete akisalimiana na wananchi wa kijiji cha Magole mkoani Morogoro waliokumbwa na mafuriko ambao kwa sasa wanaishi katika mahema yaliyopo Shule ya Sekondari Magole.
Rais Kikwete akisalimiana na bibi mmoja wa kijiji cha Magole.
Rais Kikwete akiingia katika mojawapo ya hema.
...Akitafakari jambo.
Wananchi wa Magole waliokumbwa na mafuriko.
Rais Kikwete (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi.
Rais Kikwete akiongea na wakazi wa Magole leo.
Wananchi wa Magole wakiwa nje ya mahema yao.



RAIS Dk. Jakaya Kikwete leo ametua kwa helikopta kijijini Magole, Dumila ili kukagua daraja lililoharibiwa na mvua pamoja na kuongea na wananchi wa eneo hilo waliokumbwa na mafuriko yaliyotokea Januari 22, mwaka huu wilayani Mvomero, Morogoro.

GPL.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga