Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » ANTI "LULU" HOI HOSPITALI




Staa wa Filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ yupo hoi kitandani baada ya kusumbuliwa na jino la juu ambalo anahofia kulitoa.

Akizungumza na Amani, Aunt Lulu alisema kuwa anajiona amekonda kwa maumivu ya jino tu na kutokana na vitisho anavyovipata kutoka kwa marafiki zake anaogopa kwenda kuling’oa.
“Yaani nina siku tatu sili nakunywa tu, vile vitu vigumuvigumu kama kuku na nyama za kuchoma navisikia kwa wenzangu kwani vinanishinda, nikitaka kuangua kilio niviweke mdomoni,”  alisema Aunt Lulu.
Lulu alimalizia kwa kuwaomba mashabiki wake wamuombee kwani jino ni ugonjwa mdogo sana lakini kwake umekuwa ni mtihani mkubwa kwani kila akitaka kwenda kuling’oa anapatwa na hali ya woga.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga