Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » MAHABA YA BOB JUNIOR YAMBADILISHA MAVAZI MREMBO "SABBY ANGEL"



MSANII anayekuja kwa kasi katika tasnia ya Filamu Bongo, Sarbrina Omary ‘Sabby Angel’ amefunguka kuwa  mwanamuziki, Rummy Nanji ‘Bob Junior’ ambaye kwa hivi sasa ndiye mpenz wake amembadilisha mavazi yake aliyokuwa akivaa awali kabla hawajawa pamoja.
Msanii anayekuja kwa kasi katika tasnia ya Filamu Bongo, Sarbrina Omary ‘Sabby Angel’ akipozi.
Akizungumza na Amani, Sabby alisema kuwa mpenzi wake huyo mara nyingi anapenda ajitande nguo na kuwa mtoto wa Kiislamu kama asipokuwa katika ishu za kurekodi kwani anaamini kuwa binti wa Kiislamu anapaswa kuvaa kiheshima.
Mtoto ‘Sabby Angel’ akiwa na Nanji ‘Bob Junior’.
“Nimekamatika sana, yale mavazi yangu ya awali nimeambiwa ‘stop,’ tukiwa katika mazingira ya kawaida ni lazima nijitande na nionekana haswa ni mtoto wa Kiislamu,” alisema  Sabby.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga