Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » AUNTY EZEKIEL AMWAGA CHOZI LOCATION


DIVA wa Filamu za Kibongo, Aunty Ezekiel hivi karibuni alijikuta akiangua kilio alipokuwa eneo la kuigiza ‘location’ pande za Kijichi jijini Dar baada ya kusumbuliwa na jino ambapo alishindwa kuvumilia maumivu.

Akizungumza  na Amani baada ya kupatiwa matibabu kwenye Hospitali ya Aviation, Aunty alisema kuwa  alijikuta uvumilivu unamshinda na kuangua kilio kwani kila alipojaribu kufanya kazi alishindwa.

“Huwezi amini sikupenda hata kuongea na watu, jino naliheshimu sana kwani maumivu yake kama hayajakufika unaweza kuona mtu  anajifanyisha,” alisema Aunty.

Baada ya tukio hilo, Aunty aliyekuwa amejichimbia kwenye kambi ya William Mtitu amesitisha zoezi la kupiga picha hadi hali yake itakapokuwa nzuri.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga