Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » FAMILIA YA RAPPER STEREO YATEKETEA KWA AJALI YA MOTO


Mama mdogo, Baba Mdogo,kaka yake Mjomba na watoto wa Kaka yake Rapper Stereo wamepoteza Maisha kwenye ajali ya moto iliyotokea leo maeneo ya Ukonga Banana jijini Dar Es Salaam
Hii ndiyo nyumba iliyoteketea kwam moto na kusababisha vifo vya mama mdogo,baba mdogo,kaka,mjomba na watoto wa kaka wa kaka yake rapper Stereo

Taarifa hii ilithibitishwa na watu wake wa karibu akiwemo Nikki Mbishi na Songa
"Nimefiwa nababa mdogo(last born wa marehemu baba yangu)mama mdogo,kaka,uncle, na watoto wa kaka yangu,wameungua na moto usiku wa kuamkia leo''Nikki amenukuu ujumbe aliotumiwa leo na Stereo
Bado haijafahamika chanzo cha ajali ya moto huo jitihada za kumtafuta Stereo ziligonga mwamba kutokana na simu yake kutokuwa hewani
Swahili One inampa pole kwa msiba huo

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga