Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » WABONGO WANAWAPA ULAJI SANA WA SOUTH" AY


Yessaya ‘AY' akipozi.
Stori: Shani Ramadhani
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Ambwene
Yessaya ‘AY’ amefunguka kuwa maprodyuza
wengi waliopo Afrika Kusini ‘Sauz’
wanapata faida kubwa sana kutoka nchi za
Afrika hasa Tanzania kupitia muziki.
Akichonga na Over The Weekend, AY alisema
wasanii walio wengi kutoka Bongo
wamekubaliana
na gharama zao ndiyo maana wanakwenda
kurekodi huko kuanzia ‘audio’ mpaka video.
“Sauz sasa hivi imekuwa kama moyo wa
muziki kwa Wabongo kutokana na kila
mmoja kukimbilia huko kwa sababu tu kuna
waandaaji wengi wa muziki.
Wanawanufaisha sana, natamani na sisi
siku moja Wasauz wakimbilie Bongo
kurekodi,” alisema hj

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga