Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » BAADA YA MAJAMBAZI KUMUUA NA KUKATA "NYETI" DEREVA WA MALORI, WENZAO WAFUNGA BARABARA HUKO MWANZA.


MADEREVA wa malori wameamua kuziba barabara ya Mwanza - Dar es Salaam kuanzia leo asubuhi baada ya majambazi kumuua mwenzao, kumkata nyeti na kumtoboa macho jana.

Tukio hilo limesababisha foleni kubwa iliyoanzia Igunga mpaka Nzega huku kukiwa hakuna gari lolote linalovuka kutoka Dar kwenda Mwanza au Mwanza kwenda Dar.

Abiria waliokuwa wanasafiri waliamua kutulia wakiwa hawajui nini hatma yao.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga