Staa wa filamu za Kibongo, Lungi Mwaulanga amesema mwanaume aliyezaa naye (jina ni siri yake) anampenda sana na mwanamke asiyejipenda amshobokee aone kitakachompata.
“Nawataha-dharisha tu wasije kuthubutu kutoka na mwanaume ambaye ananipa jeuri hapa mjini kwani nitawafanyia kitu mbaya. Wanaonijua wananielewa na wanaujua moto wangu ninapoingiliwa kwenye anga zangu,” alisema Lungi.