Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » KIFO CHA MAMA NTILIE CHASABABISHA VURUGU IRINGA, KITUO CHA POLISI CHACHOMWA MOTO.




Habari kutoka Iringa zinasema kuwa kituo cha polisi cha Ilula mkoani Iringa kimechomwa moto na wananchi wenye hasira kufuatia polisi kumuua mwanamke mmoja mfanyabiashara ya mama ntilie wakati wa msako maalum ulioendeshwa na jeshi la polisi dhidi ya wafanyabiashara na watu wanaokunywa pombe mida ya kazi.
Inasemekana wakati wa purukushani za kukimbia ndipo polisi mmoja alimchota mtama huyo mama wakati anakimbia na kusababisha mama wa watu kuanguka na kufariki dunia hapo hapo.
 
Mabasi ya kwenda mikoani yakiwa yamepaki baada ya wananchi kufunga barabara.

 
Muonekano wa mji wa Ilula mkoani Iringa baada ya wananchi kufunga barabara kuu ya mji huo.


 
Mabasi ya kwenda mikoani yakiwa yamepaki baada ya wananchi kufunga barabara.
 
 
 
 



About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga