Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » RAY C FOUNDATION YAULA, WAFADHILI WAKUBWA WAWILI WAJITOKEZA


 
Ray c akifunguka: Coz Am Happy!Nimepata habari nzuri sana nadhani muda si mrefu mambo yatakuwa mazuri tena ssanakwikwikwik Haleluya!Ray C Foundation imepata wafadhili wawili wakubwa sana kwani wamefurahishwa na shughuli tunazofanya za kuhamasisha na kuelimisha vijana kuhusu athari za utumiaji madawa ya kulevya!tuna project kubwa sana inaandaliwa ili tuweze 
kuwasaidia vijana wa mikoa yote ya Tanzania hasa mikoa iliyoathirika zaid kam Arusha!Tanga na kisiwa cha Zanzibar pamoja na MorogorO.Mungu ni mwema sana kwangu!Amen Amen tunaandaa insta page ya Ray C Foundation ili muone shughuli na projects mbalimbali za Foundation yetu!Tuna mpango wa kuanzisha kipindi cha Tv kitakachoonyesha jinsi gani madawa yalivyoathiri nchi yetu!vijana wetu familia nk........More to Come!Nimeamua kuweka akili yangu yote kwenye Foundation yangu. 

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga