Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

Madawa ya Kulevya yampeleka Mbunge wa Kinondoni,Iddi Azzan Polisi.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); --> KUFUATIA kutupiwa skendo za kuhusika na usafirishaji wa madawa ya kulevya nje ya nchi, Mbunge wa Kinondoni jijini Dar, Idd Azzan ametinga...

read more ?

Ajali!!!!Akuta Panya Ndani ya Wali Rost Nyama Aliouagiza.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Hali ya Sitofahamu imejitokeza katika Mgahawa mmoja huko Africa Magharibu baada ya Mteja aliyekuwa ameagiza Wali Rost nyama ya kukaanga kukutana na "KAPANYA"...

read more ?

Kutolewa kwa Nando BBA,Furaha kwa Raia wa Ghana

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Watu tofauti tofauti wamekuwa wakitoa maoni yao katika mitandao mbali mbali ya kijamii kuhusiana na Mtazamo wao juu ya kutolewa kwa Mshiriki kutoka...

read more ?

Angalia Alichokiandika Selly katika Ukurasa wa Twitter Baada ya Nando Kutimuliwa BBA The Chase.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); -->   Mshiriki kutoka Ghana aliyewahi kukashifiwa ya kwamba amemwambukiza magonjwa ya zinaa mshiriki wa Tanzania, Selly ameandika Kauli ya Kufurahia kutolewa kwa Nando...

read more ?

Za mwizi, 40.!!! Kibaka achezea kipigo huko Kawe, ni baada ya kuruka geti.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Mtuhumiwa wa wizi akiomba kusamehewa wakati mtu mwenye hasira kali akijiandaa kumtupia tofali kichwani ambalo lilimjeruhi vibaya mtuhumiwa huyo.Mwananchi mwenye hasira akimsulubu mtuhumiwa...

read more ?

Ndege Abadilika na kuwa Binadamu baada ya Kudondoka Chini Mchana Kweupee!!!

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); --> Walioshuhudia tukio hilo wamesema ilikuwa kama sinema au mchezo wa kuigiza kwani walikuwa ndege watatu wanapaa angani, ghafla mmoja akadondoka na akatumbukia...

read more ?

Justin Bieber Awatemea Mate Mashabiki walikuwa wamejazana kumshangaa!!!

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Kweli majuu hapaishiwi vituko, Mkali wa Pop Kijana mwenye asili ya Canada, Justin Bieber amefanya Kufuru ya aina yake baada ya kuwatemea mate...

read more ?

Mwangalie Shakira, Alivyoji shape baada ya Kuzaa!!!

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});  Siku chache zilizopita Msanii mzaliwa wa Columbia, Shakira alikutwa akijiachia na ka Bikini Ikiwa ni Miezi 6 tu baada ya kujifungua mtoto wake...

read more ?

Maskini, Msichana wa Chuo Akutwa Amefariki katika Nyumba ya Kulala Wageni.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Msichana Aliyetambuliwa kwa jina la Florence Ngwu, Mwanafunzi katika chuo kikuu cha Nigeria Amepatwa na Umauti Katika Hotel Moja Mjini Lagos, Nigeria. Mwili...

read more ?

Rafiki Wa Sharo Milionea Adaiwa Kudhulumu Mali za Marehemu

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); --> MALI zilizoachwa na aliyekuwa staa wa vichekesho Bongo, marehemu Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Milionea’ zinadaiwa kudhulumiwa na rafiki yake wa karibu aliyejulikana...

read more ?

Angalia Jinsi Bongo Movie Wanavyopondwa na Kutathminiwa hapa

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); UTAJUAJE NI BONGO MOVIE? 1.Jini akifika barabaranianaangaliapande zote ndo avuke barabara. 2. Matajiri majumba yao yana askaribadala ya electricfence &gates.3.Trailer inachukuadakika 40.4.Part2 ya movie ukiionamwanzo...

read more ?

Wizi wa Rasilimali za Nchi wamkosesha Amani Dk Slaa.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema,Dk Willibrod Slaa amesema Tanzania haiwezi kuendelea kuwa na amani kama wizi wa rasilimali za taifa utaendelea.Dk...

read more ?

Nabii Achezea Kipacho, Baada ya Kutuhumiwa kuwa na Uhusiano na Mume wa Mtu, Mchungaji.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); --> Nabii Juliana Aliyechezea KichapoStori:Gladness Mallya na SanchawaMWANAMKE anayejulikana kwa jina la Nabii Juliana wa Kanisa la Miracle Assemblies of God, amepigwa na...

read more ?

Mwanafunzi Ashikiwa Uchawi, Akutwa na zana kibao za uchawi huku akiwa na Nguo ya Ndani Tu!!!

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Stori:Gladness Mallya na Haruni SanchawaAMINI usiamini, duniani kuna uchawi! Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Pasco (21) ambaye pia ni mwanafunzi wa...

read more ?

Mishahara Mipya Serikalini, Angalia Ongezeko Lako Hapa.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); --> Madaktari Wakichapa Baada ya Ongezeko Hilo.Serikali imetangaza mishahara mipya kwa watumishi wa umma itakayoanza kutumika mwezi huu, huku kima cha chini kikiongezwa...

read more ?

Cheka Upate Afya, Waionaje Tathmini hii ya Elimu ya Bongo?!!!

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); --> Hapo Vipi Mjomba? Kwa Hali hii Tutafika Kweli?!!!!!!!!!! ...

read more ?

"NGUVA" Wa Ukweli Avuliwa, Alimbembeleza Muhusika Amtunzie Siri ya Uwepo wake!!!

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); --> Jumanne ya wiki hii huko Ibadan Nigeria, Mwanamke anayefahamika kama Ramota, ambaye ni muuzaji wa samaki wabichi ambao huvuliwa nakuwekwa katika mafriji...

read more ?

Tathmini ya Vikao Vya Zabuni Serikalini na Taasisi Mbalimbali, Mtazamo wa Kipanya.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); --> Kama Picha Inavyoonesha, ni hali ya kuashiria jinsi gani mambo yalivyo siku hizi katika Vikao vingi vya Zabuni Aidha katika Halmashauri zetu...

read more ?

Lulu Ajipanga Kurudi Darasani Tena

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); STAA wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekazia nia yake ya kutaka kurudi shule siku chache zijazo. Lulu aliandika hayo juzikati alipokuwa...

read more ?
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga