Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

NI ZAMU YA OMMY DIMPOZ KUFAIDI KWA AVRIL


As haters hate, it is undeniable that Avril and Ommy Dimpoz have some serious chemistry as far as music is concerned,  a fact that has escalated them to position one this week's mdundo charts. Here is how your favorite jams have fared the past week.

ZARI AFURAHIA WIVU UNAO ONESHWA NA DIAMOND KWAKE


Mwimbaji Lady JayDee alisha imba kuwa "Wivu unahusika kwenye map3nzi ya kweli". Ukiona upo na mp3nzi na yeye hana wivu kwako basi hana map3nzi ya kweli kwako.Picha inayo muonyesha Nasib Abdul aka Diamond Platnumz akichungulia kwenye simu ya mp3nzi wake 'Zari Hassan' ime make headline kwenye mitandao ya kijamii.
Lakini lakufurahisha ni maneno aliyo yaandika mama huyo kuhusiana na picha hiyo kuwa alizani ni yeye tu huwa anatabia ya kuchungulia nini Diamond anachokifanya kwenye simu kumbe hata Nasib naye huwa anachungulia nini The Boss Lady anakifanyaga kwenye simu.

Haya ndiyo maneno ya Zari "Thought i was the only one with this peeping habit��, your so busted B0o..

PICHA 3 KALI TOKA KWA JACQUELINE WOLPER


Msanii wa Bongo Movie Jacqueline Wolper ame share na fans wake Picha 3 kali za kinyumbani nyumbani. cheki nyingine hapo chini.





JOYCE KIRIA AKWAA DENI LA MIL 500 BAADA YA KUTOA SIRI YA MBUNGE WA ZANZIBAR


Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria.
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria amepokea samansi ya mashtaka kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Dimani, Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM) ambaye amedai amlipe fidia ya kumdhalilisha sh. Milioni 500 au amuombe radhi kupitia kipindi chake.
Akiongea, Joyce Kiria alisema kuwa amepokea barua hiyo kwa mikono miwili na anawasubiri wanasheria wake ili waijadili.“Nilimpokea mke wa Mbunge aitwaye Hawa kama mwanamke mwenye matatizo ambaye alifika kutoa sauti yake ili watu wamsaidie mtoto wake mwenye ulemavu.

Baada ya kuongea naye nilimtafuta mheshimiwa ili kumpa nafasi naye aongee ya kwake kama wajibu wangu, lakini cha kushangaza yeye alinikamata na kunipeleka polisi, leo anasema nimemdhalilisha,” alisema Joyce .
Joyce anadaiwa fidia na Mbunge huyo kwa kuitangaza habari ya kumtelekeza mtoto mlemavu ambaye alilepelekwa kwenye kipindi chake na mkewe, Hawa Deusi

WAPI NIVAE BIKINI? HUDDAH MONROE


msanii huddah monroe model wa kenya, leo ametoa kauli ambayo inamshangaza sana hususan kwa wale funs wake pamoja na jamii kiujumla, amefunguka kupitia mtandao wa makubwa haya blog yakuwa amekuwa akipata shida sana kutoka kwa mashabiki zake akiwa anapost picha akiwa amevaa bikini, sasa mwanadada huyo anuliza sasa hao mashabiki wake wanatakje? Au ukiwa kama mdau wa huddah monroe anauliza ni sehemu gani ambayo anatakiwa yeye avae bikini? maneno ya huddah haya hapa Them holier than thou People who complain about bikini pics like someone is supposed to go in water wearing a wedding dress should kiss my..... Tusi...

PICHA YA LEO: AGNESS MASOGANGE NA BALAA LAKE KWA WATAZAMAJI


Kama ilivyoo Kawaida yake, Mwana dada Agness Masogange ametupia picha hizo za kimitego katika page yake ya Instagram, Jionee Mwenyewe.




MAKAH@BA MWANZA WAVAMIWA NA OFM WAKIWA WANAJIUZA


Issa mnally/Mchanganyiko
Baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa kuna maeneo jijini Mwanza yanatisha kwa biashara ya ngono, Operesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers hivi karibuni imetua na kufanikiwa kufumua dangaro maarufu.

Makahaba hao wakiwa katika mawindo yao ya kila siku. Awali, dawati la OFM lilipokea sms kutoka kwa msomaji wake aliyeomba hifadhi ya jina lake iliyosomeka hivi: “Jamani nyie tunawaaminia kwa kufichua maovu, tumeona kazi nyingi nzuri mlizofanya Dar sasa tunaomba mje huku Mwanza maana kuna maeneo kama vile Liberty, Market Street, Deluxe na Villa Park, Kirumba yanatisha kwa uchangudoa.” 
Baada ya kupokea meseji hiyo, mwishoni mwa wiki iliyopita kamanda wa OFM akiwa na wenzake walitingia jijini humo na katika zungukazunguka yao, walifanikiwa kunasa eneo maalum linalosifika kwa biashara hiyo haramu.
Ilikuwaje?
...Wakisubilia wateja.Mishale ya saa 8 usiku mapaparazi wetu walitonywa juu wa kuwepo mabinti waliojikusanya katika maeneo ya Liberty (Mwanza mjini) huku wakitumia nyumba moja iliyopo karibu na hapo kufanyia ufuska wao. 
Bila kuchelewa, timu ya OFM ilifika na kuwakuta mabinti hao wakiwemo wake za watu wakiwa wamevaa kihasara ikionekana wazi walikuwa ‘sokoni’.
Kufuatia hali hiyo, maparazi wetu walianza kuwafotoa picha kitendo kilichowafanya watimue mbio kuelekea kusikojulikana.
Kamanda wa OFM akitua jijini Mwanza. Hata hivyo, baada ya timuatimua hiyo, inadaiwa wengi waligundua kuwa OFM wako Mwanza na wengi waliokuwa wakifanya ufuska eneo hilo walihama wakihofia kunaswa. 
Uchunguzi uliofanwa na gazeti hili umebaini kuwa, kama ilivyo maeneo mengine, Mwanza pia wapo wake za watu na wanafunzi ambao nyakati za usiku huingia viwanja na kujiuza ili kupata pesa za kujikimu.OFM inaahidi kuendelea kufichua maovu mkoani humu ili kuhakikisha maadili yanachukua mkondo wake.


RAY C AMEZIDI KUKAA MAPAJA WAZI




Imekuwa ni kawaida now days wadada hasa maarufu kujipiga picha za mikao ya ki hasara hasara, sasa hebu jione mwenye picha 3 tofauti zikimwonesh Msanii Ray C akiwa Mapaja Wazi, ndo Style au? Angalia Picha nyingin hao chini:-





WEMA NA ZARI WA KIPINDI HICHOO, NANI MKALI?



Haya ni maisha bwana leo mtu yupo hivi kisho ivi na weza sema auwezi aminikama awa ndio wanao kimbiza bongo kipindi hiki chote ila uku ndiko waliko tokea kimaisha

ZARI 
WEMA SEPETU 

HEBU MUONE LADY JAY DEE ENZI ZA KU RAP


Kweli maisha ni safari ndefu, mkali Jide wa enzi hizoo, kipindi anachana, alikuwa bonge la msela. cheki picha kali nyingine hapo chini.

SASA NI PROJECT YA YUSUPH MLELA NA ESHA BUHETI

 
“Nawatakia safari njema ndugu zangu mungu awatangulie kwa kila jambo najua mungu ndio anayepanga kuna mengi ila hili limeanza kwenu na milango mnaifungua wazi msiwe kama wangine wenye kucheka machoni uku moyo umekunjama. Hahahahaha.alianza Wastara . Mona . Sasa zamu yenu Mlela na Esha mkatuwakilishe vyema . USA . CHAO pamoja wasaniii wadogo  Steven Mengere 'Steve Nyerere’ aliekuwa raisi wa Bongo Movie Unity alibandika andiko hili mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya wawili hao hapo juu.

KIDUME CHATUMIA ZAIDI YA MIL 210 KUJIFANANISHA NA MADONA

 
Watu wanawapenda mastaa, wapo wanaowapenda mpaka wanatamani wafanane nao, mara nyingi tumekutana na hizi story za watu ambao wamekuwa wakifanya majaribio ya kujibadilisha muonekano, maumbile yani ili tu afanane na staa wake anayempenda.

Jordan James alitumia dola 150,000 (zaidi ya mil 270/-)  ili kujibadilisha afanane na Kim Kardashian, safari hii ni Adam Guerra ambaye yeye jitihada zake alikuwa akizifanya ili afanane na Madonna.
Pesa aliyotumia ni paundi 75,000/- (sawa na mil. 210/-) na kutokana na ‘ukarabati’ ambao anataka kuendelea kuufanya kwenye mwili wake mpaka zoezi likamilike kiasi cha pesa kitakuwa kimefikia paundi 100,000/-
Adam anasema anavutiwa sana na Madonna ndiyo maana anafanya kila kitu ili afanane naye.
Madonna
Madonna
“Nimewahi kupanda jukwaani nikamuiga Madonna.. nilipata mashabiki wengi, nimekuwa nikivutiwa naye kwa kila kitu, nimefanya maamuzi yangu binafsi kwa kutumia hela zangu ili nifanane naye kutokana na map3nzi yangu kwake, pia nimepanga kufanya ziara za kimataifa ili kuwadhihirishia watu jinsi gani navutiwa naye“-Guerra

RAY C FOUNDATION YAULA, WAFADHILI WAKUBWA WAWILI WAJITOKEZA


 
Ray c akifunguka: Coz Am Happy!Nimepata habari nzuri sana nadhani muda si mrefu mambo yatakuwa mazuri tena ssanakwikwikwik Haleluya!Ray C Foundation imepata wafadhili wawili wakubwa sana kwani wamefurahishwa na shughuli tunazofanya za kuhamasisha na kuelimisha vijana kuhusu athari za utumiaji madawa ya kulevya!tuna project kubwa sana inaandaliwa ili tuweze 
kuwasaidia vijana wa mikoa yote ya Tanzania hasa mikoa iliyoathirika zaid kam Arusha!Tanga na kisiwa cha Zanzibar pamoja na MorogorO.Mungu ni mwema sana kwangu!Amen Amen tunaandaa insta page ya Ray C Foundation ili muone shughuli na projects mbalimbali za Foundation yetu!Tuna mpango wa kuanzisha kipindi cha Tv kitakachoonyesha jinsi gani madawa yalivyoathiri nchi yetu!vijana wetu familia nk........More to Come!Nimeamua kuweka akili yangu yote kwenye Foundation yangu. 

KIFO CHA MAMA NTILIE CHASABABISHA VURUGU IRINGA, KITUO CHA POLISI CHACHOMWA MOTO.




Habari kutoka Iringa zinasema kuwa kituo cha polisi cha Ilula mkoani Iringa kimechomwa moto na wananchi wenye hasira kufuatia polisi kumuua mwanamke mmoja mfanyabiashara ya mama ntilie wakati wa msako maalum ulioendeshwa na jeshi la polisi dhidi ya wafanyabiashara na watu wanaokunywa pombe mida ya kazi.
Inasemekana wakati wa purukushani za kukimbia ndipo polisi mmoja alimchota mtama huyo mama wakati anakimbia na kusababisha mama wa watu kuanguka na kufariki dunia hapo hapo.
 
Mabasi ya kwenda mikoani yakiwa yamepaki baada ya wananchi kufunga barabara.

 
Muonekano wa mji wa Ilula mkoani Iringa baada ya wananchi kufunga barabara kuu ya mji huo.


 
Mabasi ya kwenda mikoani yakiwa yamepaki baada ya wananchi kufunga barabara.
 
 
 
 



ALIYEKUWA MENEJA WA DIAMOND PLATNUMZ ANENA MAZITO KUHUSU MSNII HUYO


Papa Misifa ( wa pili kutoka kulia) akiteta jambo na Cassim Mganga
Meneja wa zamani wa Diamond Platnumz, Msafiri Misifa maarufu kama Papa Misifa, amesema wasanii wengi wanashindwa kuendelea kutokana na kushindwa kuhifadhi wanachokipata.
Papa Misifa aliyewahi pia kuwa meneja wa Dully Sykes na Cassim Mganga, ameiambia Bongo5 kuwa Diamond ni msanii pekee aliyeweza kufuata mafunzo yake na ndio maana anaendelea kufanikiwa mpaka sasa.
“Tatizo kubwa wasanii sana wanapopata riziki wanashindwa kujipangilia. Na mafunzo mengi niliyompa Diamond ndo maana mpaka leo anajua kujipangilia mpaka pale alipofika. Wasanii wanashindwa kupangilia pesa zao. Tatizo wanapopata pesa wanabadilika. Ukitaka kujua tabia ya mwanadamu ngoja apate pesa ndo utajua tabia yake,” amesisitiza.
“Wasanii wengi hawalengi kufanya vitu vya maendeleo, wanalenga kufanya starehe kwenye baa. Ndio maana watu wanasema wanamuziki wa zamani wamefulia ni kweli kwa sababu hawakujipanga. Hawakutambua kesho yao, wewe unafikiri kwanini Diamond anaiogopa kesho yake? Ni kutokana na maisha yalivyo ukipata nafasi itumie ipasavyo.”

HUDDAH MONROE ACHAFUA HALI YA HEWA MTANDAONI BAADA YA KUPOST PICHA AKIWA NUSU.......



Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa.
Mrembo huyo wa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti.
Mashabiki wake hawakusita kumchana.

“Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being n@ked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed.

“Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme.

BAADA YA KAZI NGUMU KWA MA JUDGE, HATIMAYE MISS RWANDA 2015 APATIKANA


Doriane Kundwa was crowned Miss Rwanda 2015 in front of an excited audience at the Kigali Serena Hotel on February 21.

WEMA BADO ANAMPENDA DIAMOND PLATNUMZ, AWEKA VIDEO YA JAMAA AKIWA KIFUA WAZI NA KUSEMA HAYA....



Leo mwanadada wema sepetu amezidi kuudhihirishia ulimwengu wa fans wake kuwa kijana raisi wa wasafi aka Diamond Platnumz ndio mahabuba wake baada ya kupost video ya mwanamuziki huyo akiwa kitandani kifua wazi kabisaaa huku akiandika “In da middle of his writing session…jus had to distrub him a little”. Mmmh hatari sana!

NANENEPA KIMASOGANGE" NISHA


Mwingizaji wa filamu mwenye vituko, Salma Jabu ‘Nisha’ alibandika picha yake matandaoni ikimuonyesha jinsi alivyo mnono kwa sasa na kuandika haya;
"Dah mbona km sijielewi au sio mm??? Ok nimekumbuka chips za mpemba zinafanya kazi dah!!!sa mbona nanenepa kimasogangee masogange mhhhh si kwa kibuno hiko loool.. niacheni nijiambie mwnyw maana mtakua hamnambii."

Usikose filamu mpya ya mkali huyu, inayokwenda kwajina la SHIDA amabayo siku ya kesho inaingia sokoni.

WAISLAM NA WAYAHUDI NORWAY WAWEKA DUARA LA AMANI


Waislamu nchini Norway wakiweka mviringo wa kuwazunguka wayahudi ili kuonyesha amani kufuatia misururu ya mashambulizi inaowalenga raia hao.
Zaidi ya watu 1000 wengi wao wakiwa waislamu wameunda mviringo na kulizunguka sinagogi nchini Norway kuonyesha umoja wao kufuatia mashambulizi kadha yaliyowalenga wayahudi barani Ulaya.
Wakati waumini wa kiyahudi walipokuwa wakitoka ndani ya sinagogi katika mji mkuu wa Norway Oslo kulikuwa na shangwe wakati vijana wa kiislamu walipowazingira kama ishara ya amani.
Warsha hiyo ilipangwa na vijana wa kiislamu na inafanyika wiki chache baada ya kijana mmoja mzaliwa wa Denmark mwenye asili ya Kipalestina kuwaua watu wawili.
(Chanzo: BBC)

ZARI AMPEKUA DIAMOND PLATNUMZ IKULU KUCHEKI USALAMA WA MALI ZAKE


Mjini Msingi kiuno , Kauli inayodhihirishwa na Zari hapa kwenye hizi picha , Zari amenaswa na mpiga picha wa Diamond akikagua mali zake kama zipo salama ..


Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga